IKULU: Rais Magufuli Apokea Ujumbe Kutoka kwa Kagame. Akubali Kupeleka Rwanda Walimu wa Kiswahili..!!!

share upate zawadi ya kusafili na wasafi kwenda kuona show zetu live

Thursday, April 20, 2017

IKULU: Rais Magufuli Apokea Ujumbe Kutoka kwa Kagame. Akubali Kupeleka Rwanda Walimu wa Kiswahili..!!!

KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++

Rais Magufuli leo amepokea ugeni kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda na kuzungumza nao Ikulu, Dar es Salaam.

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amepokea barua yenye ujumbe wa Rais wa Jamhuri wa Rwanda Mhe. Paul Kagame iliyowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambaye ni Waziri wa Elimu wa Rwanda Dkt. Musafiri Papias Malimba.

Pamoja na kupokea barua hiyo, Mhe. Rais Magufuli na Dkt. Musafiri Papias Malimba wamezungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Rwanda ikiwemo katika sekta ya elimu hususani maendeleo ya sayansi na teknolojia.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli ameipongeza Rwanda kwa kuamua lugha ya Kiswahili ianze kufundishwa katika shule zake na ameahidi kuwa Tanzania ipo tayari kutoa walimu wa kwenda kufundisha lugha hiyo.
http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=1160731
http://wasafi-com.blogspot.com/
[2.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++

Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top